Abasia
Habari na Matukio | Abasia

MZEE WITMAR METZGER AMEFARIKI DUNIA

Kwa masikitiko makubwa, jumuiya ya Abasia Ndanda inatangaza kilo cha Mmisionari  mashuhuri na wa muda mrefu, Fr. Witamr Mezger OSB. Baba Witmar Metzger OSB  (pichani) alizaliwa tarehe 23 Juni 1930  katika Wilaya ya Main-Tauber,...

Read More

ABATE WA SITA WA ABASIA YA NDANDA ASIMIKWA RASMI

Kufuatia uchaguzi wa Pd. Christian Temu OSB hapo Machi 25 2021 kama abate wa Sita wa monastery ya Ndanda, sherehe ya kumsimika rasmi imefanyika katika viwanja vya abasia tarehe 8 Juali 2021. Sherehe hiyo ya kufana ilikuwa na...

Read More

ABASIA YA NDANDA YAMCHAGUA ABATE MPYA

TAREHE  25. 3. 2021, Raisi wa Shirika la Wabenediktini Wamisionari duniani alitoa taarifa ifuatayo: “Baada ya kifo cha aliyekuwa abate wa Ndanda Pd. Placidus Mtunguja OSB hapo Machi 2, 2021, watawa wa Ndanda wamemchagua...

Read More
Loading